( 0 ) .Kiwanja kizuri sana kinauzwa mbweni sehemu safi karibu na chuo cha biashara nbaa mbweni kinagusa barabara kubwa main road ya lami unatoka kwenye lami unaingia kwenye kiwanja sqm 1018 kina hati safi bei poa kweli kinauzwa 75 milioni tu kama unakiokota. (1) kiwanja kinauzwa, kipo ununio, kina ukubwa ekari mbili na nusu { 2.5 } bei nitzs 800m mazungumzo yapo.
2. Viwanja vinauzwa, vipo ununio, sqm 800, 900,na 1,000 bei ni 120 milioni kwakila kiwanja.
3. Viwanja vinauzwa- vipo bunju a au bunju shule, ukubwa wa viwanja vinaanzia20 x 20 na na kuendelea. Huduma ya maji na umeme vipo. Bei ni tzs 5 milionikwa kila kiwanja.
4 eneo lenye kibali cha kujenga kituo cha mafuta linauzwa lipo mbezi malambamawili lina hati. Lina ukubwa wa sqm 2,579. Bei ni tzs 700 milioni.Vipo vingine vya bei za chini zaidi maeneo ya salasala na goba na mapinga,
kwa maelezo zaidi nipigie.