Viwanja hivi ni kwa ajili ya makazi na Biashara
Viwanja vipo umbali wa 18km kutoka ferry
Viwanja Vimepimwa na viko chini ya usimamizi wa kampuni
Malipo yetu ni Cash au kwa mkopo hadi miezi 6
Kwenda kuona mradi huu ni kila siku ya jumatano, jumamosi na Jumapili
Tuna miradi mingine maeneo ya Kerege Gamoyo, Mwembe mdogo Kigamboni, Misugusugu kibaha, Vigwaza kwala, Pangani kibaha, Madale mivumoni, Bunju mji mpya na vikawe Baobab.