Shamba kubwa linauzwa morogoro hekari 500 zinagusa MTO ngerengere kwa umwagiliaji hakuna shida Bei ya kuuza milioni 450 kwa zote ndani kuna go dawn tayari.Hekari 100 zinauzwa morogoro zinagusa MTO wami swala la kumwagilia maji hakuna shida lina hati safi,Shamba Hekari 100 Lina uzwa morogoro Tuliani linagusa mto Tuliani, Bei poa sana kila @ hekari moja laki5 tu.Hekari 121 zinauzwa morogoro sehemu Dakawa zimepimwa zina hati nako kuna MTO swala la umwagiliaji sio shida lina hati,mashamba mengine yapo maeneo ya kibaha,chalinze na bagamoyo,kilombelo,kigamboni,Mashamba yote haya yamepimwa haya mgogoro wowote, Shamba Hekari 65 Lina uzwa Mkamba kimanzichana lenye mifungo km ngombe na mbuzi Linauzwa Bei poa milioni 50 maongezi yapo. shamba hekari 15 zinauzwa milioni 8.5 kuna minazi,Mikorosho apo mkuranga Mwalusembe kutoka main road kilometer2 unafika site.kwa maelezo ya kupata mashamba kwa kilimo au ufugaji tupigie simu kwa maelezo zaidi.