Eneo linauzwa *MAKONGO JUU*
Linaukubwa wa 13400SQM( Sawa na Acre 3 na robo)
Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa apartments, nyumba za wanafunzi au kuwekeza makazi binafsi
Lipo umbali wa mita 900 kutoka barabara ya makongo juu na limezungukwa na vyuo vikuu viwili, Ardhi university pamoja na University of Dar es salaam.
Eneo lina hati milki (Title deed)
Linauzwa kwa Tshs 900M, mazungumzo yapo