Punguzo punguzo hii ni ofa kubwa ndugu mteja nauza nyumba hii milioni 46 (46,000,000/= )
nyumba nzuri kubwa ya familia inauzwa ni nyumba ya kuhamia tuu na ipo sehemu nzuri sana bei mseleleko kabisa (46,000,000/= tsh) million 46 na gari linafika hadi mlangoni
nyumba hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 3 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#maji dawasa yapo ya kutosha
#parking
#ipo ndani ya fensi
#nyumba ya kuhamia tuu na kuongezea urembo wako binafsi
bei ni 46,000,000/= tsh
ukubwa wa eneo ni 20/18 meters
documents:- hati safi ya mauziano halali kutoka serikali ya mtaa
nyumba hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji au bodaboda na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 2 upo kwenye .