Ni apartment nzuri sana ya kupanga ipo ubungo kibangu juu
.
.
sifa za nyumba
#
ina vyumba viwili vya kulala sebule jiko zuri lenye makabati na choo ndan public. aina master
.
.
kodi ni 250,000 kwa mwezi malipo ni miezi 3 tu
.
.
pia hapa hapa pana chumba sebule choo jiko
.
.
kodi ni 200x3
.
.
inajitegemea umeme luku yake na maji yapo dawasa yanaflow ndani
.
apartment zipo ubungo kibangu juu km 1,5 kutota ubungo riva side usafiri bajaji 700 ukishuka kwenye bajaji dk 3 upo nyumban
.