Kuelekea mwishoni wa mwaka,property investors company (pic) imekuletea punguzo kubwa la bei kwenye miradi yake ya
kerege bagamoyo:vipo mita900 toka barabarani,bei kuanzia million 6.5 na kuendelea,ukubwa wa sqm 400(meter 25 kwa 16)
vigwaza kwala:vipo km6 toka vigwaza mizani,karibu na bandari kavu ya kwala.bei ya kuanzia million 3 unamiliki kiwanja chenye ukubwa wa sqm 650(meter 40 kwa 16)
mbutu kigamboni:vipo km4 toka maghorofa ya dege,bei kuanzia million 6.8,ukubwa wa kuanzia sqm 400(meter 25 kwa 16)
madale mivumoni,vipo km1.5 toka barabarani,bei ni kuanzia million 20 na kuendelea ukubwa wa sqm 506(meter 25 kwa 20)
mwembe mdogo kigamboni,km1 toka barabara ya rami,bei kuanzia million 13,ukubwa wa sqm 602(meter 31 kwa 20
mashamba fukayosi bagamoyo,yapo km5 toka bagamoyo road,hekari 1 kwa cash ni million 1.5,na kwa awamu ni million 1.9