Shamba linauzwa , linapatikana tabata king'azi lina ukubwa wa hekari 6 . lina faa kwa matumizi ya Shule , hospitali, ufugaji wa mifugo, kukata plot na kuuza .
kwenda kwenye shamba unaweza pitia tabata kifuru or mbezi malamba mawili.
kutoka tabata kifuru hadi kwenye shamba ni km 4 kamili na kutoka mbezi malamba mawili hadi kwenye shamba ni km 5.5