Viwanja vizuri sana viko tambarale na vimegusa barabara kuu ya mivumoni vinauzwa madale mivumoni. viko umbali wa mita 800 toka main road madale mwisho
loc :madale mivumoni
price : tsh elfu 80 @ sqm 1
umiliki :kimepimwa hati bado, hati itatoka kwa jina la mteja
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30
kujinga na group letu la whatsapp gusa hii link: (rfkmkwizu)