*Eneo la Ekari 2 lenye majengo linauzwa Kingorwila-Morogoro*
*Umbali* Kutoka barabara ya Dar es Salaam ni mita 100
-Eneo lina Majengo 3 yalikuwa yanatumika kama Chuo cha kuwafundishia wajasiriamali
*Plot size* Ekari 2
*Document* Surveyed bado kupata hati
*Bei shilingi milioni 170 maongezi yapo*