Kiwanja chenye msingi kinauzwa kimara mwisho
kina msingi wa vyumba vitatu vya kulala, master moja, sebule, jiko na public toilet. amepandisha chumba kimoja anakaa mwenyewe. gari inafika, ni kilomita 3 toka main road
ukubwa ni sqm 300
bei: tsh milioni 12
umiliki: mkataba wa mauziano, kimepimwa hati bado
mawasiliano
piga, whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link: