Hii nyumba inauzwa ipo mbezi kibanda cha mkaa
bei ni milion 55 na mazungumzo yapo vizuri sana
ina vyumba vitatu vikubwa vya kulala kimoja master sebule kubwa daining jiko zuri na public toilet
ina tiles gypsum aluminum safi
nyumba imemaliza eneo
inajitegemea umeme luku yake na maji dawasa yanaflow ndani
umbali ni km 1 tu unaweza tembea dk 10 mpaka 15 kwa miguu kutoka morogoro road