Tiled Floor, Pre-Paid Meter, Kitchen Cabinets, Dining Area, Microwave, Refrigerator, Sectionals, Chandelier, Air Conditioning, Balcony, Hot Water, Dishwasher, Pop Ceiling, 24-hour Electricity, Kitchen Shelf, Wardrobe
Facilities
Yes
Parking Space
400
sqm
Property Size
Yes
Agency Fee
20000
Agent Fee
Store address
Dar es Salaam • Kinondoni
Isseke, Tanzania
Nyumba kubwa ya kisasa inauzwa
nyumba hii kubwa ya kisasa ina vyumba 3 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa sana, sebule kubwa, dining, jiko kubwa la kisasa, store na choo cha familia
ukubwa wa eneo ni 25/30 meters
#eneo limelasimishwa
#document ni document safi za mauziano kutoka serikali
bei ni milion 80 maongezi yapo
nyumba hii ya kisasa ipo kimara temboni upande wa kulia km unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 3 upo kwenye nyumba
nyumba hii ina mpangaji na analipa kodi ya shilingi kwa mwezi
nyumba hii haina mgogoro wowote nyumba ipo salama mwenye nyumba anauza ili aweze kujiendeleza zaidi kimaisha