Dishwasher, Wardrobe, Balcony, En Suite, Dining Area, 24-hour Electricity, Air Conditioning, Chandelier, Kitchen Shelf, Sectionals, Hot Water, Kitchen Cabinets, Pre-Paid Meter, Pop Ceiling, Refrigerator
Facilities
Yes
Parking Space
Yes
Agency Fee
20000
Agent Fee
100000000
Legal and Agreement Fee
10000000
Caution Fee
Store address
Dar es Salaam • Kinondoni
Isseke, Tanzania
Nyumba kubwa ya kisasa ni inauzwa sana ipo kimara suka
hii nyumba ina vyumba 3 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa sana, dining,jiko kubwa la kisasa, makabati ya nguo, aircondition kila chumba, electric fence, paving, garden,car parking, ukubwa wa eneo ni 25/30
document: hati safi ya mauziano kutoka serikali ya mtaa / eneo limelasimishwa limepimwa bado kupata hati tuu
price: bei ni milioni 100
location: nyumba hii ipo kimara suka upande wa kushoto km unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji sh 500 na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 4 upo kwenye nyumba