Apartment nzuri ya familia ya kisasa inapangishwa bei ni 350,000/= x 6
itakua wazi kuanzia tarehe o1/04/2024 kuona ndani ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
# kwenye fensi moja zipo apartment 3 tuu na hii moja ndio inapangishwa
#parking kubwa ya kutosha
bei ni 350,000/= x 6
ilipwe laki 3 na elfu 50 kwa mwezi malipo ya miezi 6
apartment hii ipo mbezi kwa msuguri upande wa kushoto kama unaenda mbezi njia iliyowekwa lami mpya ya zege na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji sh 700