Apartment nzuri na ipo jirani na barabara inapangishwa bei ni 400,000/= x 6
ipo wazi tayari na mafundi wapo kazini wanaendelea na ukarabati
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 3 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#public toilet
#zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#parking kubwa
bei ni 400,000/= x 6
apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 5 tuu kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
namaliza pambano hapa