Apartment inapangishwa na ipo jirani kabisa na barabara
apartment hii ina sifa zifuatavyo
#vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master
#sebule
#jiko kubwa
#public toilet
#luku inajitegemea
apartment hizi zipo 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio ipo wazi
apartment hii ipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 4 tuu kwa miguu