Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 15/02/2024 au mapema zaidi ya hapo kuona ndani ni ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa
#sebule kubwa
#jiko kubwa lenye makabati
#public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa
bei ni 350,000/= x 4
ilipwe laki 3 na elfu 50 kwa mwezi malipo ya miezi 4 na kuendelea
apartment hii ipo kimara suka upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 15 kwa miguu
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja