Apartment nzuri mpya za kisasa zinapangishwa bei ni 420,000/=x 6
apartment hizi zina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master
#sebule kubwa
#jiko kubwa lenye makabati
#public toilet
#store
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#paving
#parking
!! mafundi wapo kazini kwa kasi ya 5g na itakua tayari kuhamia kuanzia tarehe 01/04/2024 lipia mapema uhamie mapema
bei ni 420,000/= x 6
ilipwe laki 4 na elfu 20 kwa malipo ya miezi 6 tuu
apartment hizi kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji sh 700 au bodaboda sh elfu 1 na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
angalizo:- apartment hizi zitakua tayari kuhamia kuanzia tarehe 01/04/2024 wahi ndugu mteja nyumba zimebakia chache