Apartment nzuri sana ya kisasa inapangishwa
(soma maelezo kwa umakini ndugu mteja)
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master
#sebule ya wastani
#jiko zuri la kisasa
#public toilet
#paving
#zipo apartment 4 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#garden
ilipwe laki 3 tuu kwa mwezi malipo ya miezi 6
apartment hii ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 tuu njia ni lami tupu hadi kwenye nyumba,usafiri ni bajaji sh 500 ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 2 upo kwenye nyumba
apartment hii itakua wazi kuanzia tarehe 30/10/2022 kuona na kulipia ni ruksa kabisa ndugu mteja