Apartment mpya za kisasa bei ni 350k x 6 na zipo mtaa mzuri sana zinapangishwa bei ni laki 3 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
apartment hizi zina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vya kulala vikubwa kimojawapo ni master bedroom kikubwa
#sebule kubwa sana
#jiko kubwa linafungwa makabati
#public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#zipo apartment 4 tuu kwenye fensi moja zimebakia 2 tuu
#parking kubwa ya kutosha
bei ni 350k x 6
ilipwe laki 3 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi sita tuu
kupelekwa kuona nyumba hii garama yake ni elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
apartment hizi zipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bodaboda sh 1000 tuu hadi kwenye nyumba