Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa na itakua wazi kuanzia tarehe 30/10/2023 au mapema zaidi ya hapo pia kuona ndani ni ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#parking
#zipo apartment 3 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa
bei ni 300k x 6
ilipwe laki 3 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
apartment hii ipo mbezi kwa msuguri upande wa kushoto kama unaenda mbezi njia iliyowekwa lami na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji sh 500 na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 2 upo kwenye nyumba
njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba