Apartment nzuri kubwa ya kisasa inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 30/10/2023
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vikubwa vya kulala
#sebule kubwa
#hakuna master
#jiko kubwa lina makabati mazuri
#choo kizuri cha ndani kwa ndani
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#parking
!!fensi ipo imejengwa nusu ila kuna walinzi wanalinda na usalama ni wa uhakika
bei ni 300k x 6
ilipwe laki 3 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
apartment hii ipo kimara bucha kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 5 kwa miguu
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia kodi ya mwezi mmoja ya udalali
ndugu mteja apartment hii itakua wazi kuanzia tarehe 30/10/2023 kuona ndani endapo mpangaji atakuwepo ni ruksa kabisa na malipo yanapokelewa