Apartment nzuri ya kisasa ipo mtaa mzuri sana inapangishwa bei ni 400,000/= x 6
itakua wazi kuanzia tarehe 19/07/2026
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#public toilet
#garden
#parking
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
ulinzi na mtu wa usafi na garden ni bure upo masaa 24
bei ni 400,000/= x 6
apartment hii ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji sh 50o na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 3 upo kwenye nyumba
njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja