Apartment nzuri ya kisasa na ipo mazingira mazuri sana inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 10/10/2023
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master
#sebule kubwa
#jiko kubwa la kisasa
#aircondition (ac)
#garden
#heater ya maji moto
#parking
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
bei ni 500k x 6
ilipwe laki 5 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
bila kusahau pesa ya tahadhali (caution money) shilingi laki 4 inalipwa sambamba na kodi ya miezi 6
apartment hii ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 6 tuu kwa miguu njia ni rafiki na lami tupu hadi kwenye nyumba
hapa ndugu mteja unatakiwa kutoa pesa ya dharura (caution money) kiasi cha sh 400k (laki 4 tuu )
apartment hii itakua wazi kuanzia 10.10.2023 ...