Apartment nzuri kubwa na ipo jirani na barabara inapangishwa bei ni 200,000/= x 6
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#public toilet
#madilisha shata
luku inajitegemea yenyewe
#zipo kwenye fensi nzuri
#parking kubwa
!!maji ni nje ndugu mteja hayatoki ndani
bei ni 200,000/= x 6
apartment hii ipo kimara suka upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 4 tuu kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
dakika 4 kwa miguu upo kwenye nyumba
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja