Apartment nzuri mpya za kisasa zinapangishwa bei ni 600,000/= x 6
mafundi wapo kazini wanamalizia hatua za mwisho kung'arisha nyumba
apartment hizi mpya zinasifa zifuatazo
#vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa
#sebule kubwa
#jiko kubwa la kisasa
#public toilet
#ulinzi,,mtu wa garden na usafi wa mazingira ni bure kabisa ndugu mteja
#zipo apartment 4 mpya ndugu mteja na zimebaki chache mbio zako tuu hapa
#kuna walinzi masaa 24 na bure kabisa ndugu mteja
#garden nzuri
bei ni 600,000/= x 6
bila kusahau pesa ya tahadhari (caution money) shilingi laki 3
apartment hizi zipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 8 tuu kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi 30k