Apartment nzuri ya kisasa na ipo jirani na barabara inapangishwa bei ni 350,000/= x 6
itakua wazi kuanzia tarehe 01/02/2026 kuiona ndani ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vikubwa vya kulala
#hakuna master bedroom
#sebule kubwa
#jiko kubwa lenye makabati
#public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#ulinzi upo masaa 24
bei ni 350,000/= x 6
apartment hii ipo kimara bucha upande wa kushoto kama unaenda mbezi na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 4 tuu kwa miguu ndugu mteja
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
namaliza pambano hapa