Apartment nzuri na ipo mtaa mzuri sana inapangishwa ni lami tupu hadi kwenye nyumba
apartment hii inasifa zifuatazo
#vyumba 2 vya kulala na vyumba vyote ni master bedroom
#sebule
#jiko kubwa lenye makabati
#public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#maji yanatoka ndani masaa 24
#parking kubwa
#garden
!! inapangishwa ni ya chini
bei ni 350k x 6
ilipwe laki 3 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
apartment hii ipo mbezi kwa msuguri upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 12 tuu kwa miguu au unaweza kupanda usafiri wa bajaji sh 500
#kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba utalipia pesa ya udalali shilingi laki 3 na elfu 50