Apartment ya kisasa kabisa inapangishwa ina vyumba 2 vikubwa sana vya kulala HAKUNA MASTER, sebule kubwa, jiko na choo cha familia kwenye fensi moja zipo apartment 4 na hii moja ndio ipo wazi na kila apartment inajitegemea kwa kila kitu zipo kimara suka upande wa kulia km unaenda Mbezi kutoka Morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 20 kwa miguu