Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 400,000/= x 6 bila kusahau pesa ya tahadhari kodi ya mwezi mmoja
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vya kulala na vyumba vyote ni master bedroom
#sebule kubwa sana
#jiko kubwa
#public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#heater za maji moto
#paving
#parking kubwa
bei ni 400,000/= x 6
pesa ya tahadhari mwezi mmoja
apartment hizi zipo kimara suka upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 15 tuu kwa miguu
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20
njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba