Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa na itakua wazi kuanzia tarehe 30/03/2026
apartment hii ina sifa zifuatazo
#chumba kikubwa
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#choo kizuri cha ndani kwa (public toilet)
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
bei ni 200,000/= x 6
apartment hii ipo kimara suka upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bodaboda
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
itakua wazi kuanzia tarehe 30/03/2026 kuona ndani ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo