Shamba kubwa Hekari 359
4 Zinauzwa Zimeshafanyiwa tathmini na zimeshathaminishwa kwa Vipimo na Mchoro Upo Bado KULIPIA tu ili HATI ITOKE Shamba Linafaa Kwa Kilimo cha parachichi Mahindi, Maharage Karanga migomba ndizi na miti pia irrigation ndo Mahali Pake pia Linafaa kwa Lunch au Ufugaji Vile2, kuna Maji na umeme wa Kutosha na Barabara pia ipo Wahi fursa hii Uwekeze.