Viwanja vipo Kilometres 3 toka Cheka stand
Miundombinu ya maji umeme tayari imeshafika.
Vipo vya ukubwa mbalimbali.
Viwanja vimeshapimwa tayari.
Site tunatembelea kila siku na hakuna gharama.
Tuna viwanja vingine maeneo ya Mbutu Kigamboni, Kisota, Chekeni Mwasonga,Bunju Mji mpya, Madale Mivumoni, Misugusugu Kibaha, Pangani Kibaha Maili moja,Mapinga Bagamoyo, Vikawe-Kimele Baobab, Vigwaza Pwani... Dodoma tuna viwanja maeneo ya Chamwino Ikulu, Mtumba, Itega, Iyumbu, Msalato Airport, Kitelela,Chahwa.
Ofisi zetu zipo nyuma ya Ubungo plaza na Kwa Dodoma tupo Capital City Mall.