Shamba linauzwa kibungo Buyuni kigamboni jijini Dar es Salaam
Shamba lina ukubwa wa ekari 2
(Square meter 8000)
Shamba lipo umbali wa
mita 200 tu kutoka Barabara kuu ya kigamboni - buyuni
Bei yake sasa ni shilingi ,badala bei ya awali Inatakiwa pesa ya chap chap.,Ni zaidi ya bure,naweza kusema linatupwa.Wahi leo kabla halijachukuliwa, Buyuni ndio habari ya mjini sasa hivi.Umeme upo mbele na nyuma.
Njoo uyajenge.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu