Kiwanja kinauzwa kigamboni cheka mtaa wa Mwanzo mgumu.kiwanja kipo kilomita2 TU kutoka Barabara kubwa ya lami iendayo ferry kigamboni au kimbiji.Uzuri wa kiwanja hiki kimepimwa na ukinunua hati itatolewa kwa majina Yako Moja kwa Moja.Miundombinu yake ni rafiki na Barabara yake kubwa Pana na imechongwa.Pia unaweza lipia ata kwa awamu mbili, Utaratibu unataka ulipie 50%ya Bei ya kiwanja itayobaki utaendelea kulipia kidogo kidogo ndani ya miezi 6.