Mradi upo karibu kabisa na mjini...
Km 18 tu kutoka ferry
Mradi upo karibu na barabara kuu ya lami
Km 2 tu kutoka barabara kuu
Mradi umezungukwa na makazi ya watu na Huduma zote za kijamii zinapatikana
Maji, umeme, shule na vituo vya Afya
Ukubwa ni kuanzia sqm 500 na kuendelea
Eneo ni tambarare... na ni zuri kwa ujenzi... unajenga na kuhamia...
Bei ni nafuuu na malipo ni rahisi
1sqm,000/= Cash
1sqm,000/= malipo ya kidogo kidogo ndani ya miezi 12...