Viwanja Vipo upande wa bahari na Vimepakana na mikoko.
Bahari ipo Mita 400 kutoka site.
Viwanja Vipo umbali wa Kilometre 17 kutoka ferry.
Bei yetu ni 17,000/SQM
Viwanja vimeshapimwa tayari na utapata hati.
Malipo ni cash au Kwa awamu.
Site tunatembelea kila siku.
Vipo Viwanja vya ukubwa mbalimbali kuanzia SQM 300(20 Kwa 15) mpaka SQM 700(35 Kwa 20).
Tuna miradi mingine ya Viwanja maeneo ya Cheka Kigamboni, Kisota Kigamboni, Chekeni Mwasonga, Misugusugu Kibaha, Vigwaza Pwani,Vikawe-Kimele(Baobab), Mapinga Bagamoyo... Dodoma tuna viwanja maeneo ya Chamwino Ikulu, Mtumba, Itega, Iyumbu, Msalato Airport, Mahoma Makulu, Kitelela, Chidachi, Njedengwa, Vikonje B, Nala Ringroad, Nala Chihoni, Matumbulu.
Ofisi zetu Kwa Dar es Salaam zipo nyuma ya Ubungo plaza na Kwa Dodoma tupo Capital City Mall.