Kiwanja kilichopimwa kinauzwa kigamboni MwanzoMgumu.kipo umbali wa klm 1 ukitokea Barabara kubwa ya lami iendayo ferry kigamboni.kiwanja kimepimwa na ramani yake imeshajajiliwa na wizara ukinunua hati itatolewa kwa majina Yako Moja kwa Moja.Uzuri wa kiwanja hiki kipo tambarale na ardh yake ni kichanga ambayo aituami maji.pia unaweza ukalipia kwa awamu mbili hiki kiwanja,Anza na nusu Bei ya kiwanja itayobaki utaendelea kulipia kidogo kidogo ndani ya miezi 6.Huduma za kijamii ni rafiki,maji,yapo, Umeme upo, Barabara zinapitika muda wote.kwa maelezo zaidi nipigie.