Kiwanja chenye hati kinauzwa kigamboni kibada.kiwanja kipo block 17 na kiwanja kimepimwa na kina hati.Uzuri wa kiwanja hiki,kimeshajengewa Kuta pande mbili za kiwanja hiki.kiwanjabkipo kwenye mtaa mkubwa ambayo tayari umeshajengeka.kwa maelezo zaidi nipigie