Kiwanja kinauzwa kigamboni baiskel.Kiwanja kipo umbali wa kilometa 2 kutoka Barabara kuu ya lami(baiskel) kipo jerani kabisa na shule ya Ana Makinda
Kiwanja kina ukubwa wa square meter 600.Kina hati miliki.
Bei yake shilingi milioni 25
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu