GEZA, KIGAMBONI
Fursa adhimu ya kumiliki kiwanja katika moja ya maeneo yanayokua kwa kasi zaidi Kigamboni. Kiwanja hiki kina ukubwa wa SQM 600, kimepimwa rasmi na kina Hati ya Wizara, hivyo kuhakikisha umiliki salama na wenye uhakika.
Kiwanja tayari kimezungushiwa fence pande zote, jambo linalokuongezea usalama na kukupunguzia gharama za maandalizi ya ujenzi. Kipo katika eneo zuri, lenye mazingira tulivu na majirani wenye maendeleo, umbali wa takribani kilomita 1.5 kutoka barabara kuu.
Iwe unatafuta eneo la kujenga nyumba ya familia au uwekezaji wa baadaye, hii ni nafasi nzuri ya kuwekeza katika eneo lenye thamani inayoongezeka kila siku.
Bei: TSh 35 Milioni tu.
Karibu uone eneo na ujionee mwenyewe ubora wake.