Eneo la kujenga na kuhamia
Mradi upo karibu kabisa na mjini...
Km 18 tu kutoka ferry
Mradi upo karibu na barabara kuu ya lami
Km 2 tu kutoka barabara kuu
Mradi umezungukwa na makazi ya watu na Huduma zote za kijamii zinapatikana
Maji, umeme, shule na vituo vya Afya
Ukubwa ni kuanzia sqm 500 na kuendelea
Eneo ni tambarare... na ni zuri kwa ujenzi
**TUNAKUKARIBISHA KWENDA KUTEMBELEA MRADI HUU
SIKU YA;
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMATANO