Eneo lenye hati kinauzwa Chanika kwa mbiki.Eneo lina ukubwa wa ekali 14,Matumizi ya eneo ni Makazi na biashara.Eneo lipo umbali wa kilomita 1 ukitokea Barabara kubwa ya lami iendayo chanika mwisho.Eneo limepimwa na lina hati ya wizara.Umeme umeshafika site na majirani wapo sehemu ambayo unajenga na kuhamia TU.kwa maelezo zaidi nipigie.