*Kiwanja kinauzwa Kibada Kiziza-Kigamboni*
*Distance* Kutoka main road (The new Shamba Bar) mpaka kiwanjani ni Mita 400.
-Eneo ni tambarare linafaa kwa Hotel, Apartment na nyumba za makazi
-Matumizi: *Commercial na Residential*
-Plot size Sqm 8526
-Title deed
*Bei ni shilingi milioni 426 maongezi yapo*
Yus