* viwanja 6 vinauzwa Kigamboni, Mwasonga
- kila kiwanja kina Sqm 800 na zaidi
- Kila kiwanja kina hati miliki inayojitegemea na ni hati mpya za mfumo wa wizara
-Viwanja viko jirani na barabara kuu inayounganisha mpaka ferry kituoni
-Huduma zote za muhimu Kama maji na umeme zinapatikana
- Bei imeshuka kutoka kila kiwanja kugharimu 15M na sasa Kila kiwanja kina gharimu 12M. Mnunuzi anaweza kununua vyote kwa pamoja au kimoja kimoja, kwenda site kuviona ni wakati wowote na hakuna vipingamizi.