*KIWANDA CHA CHAKULA CHA KUKU KINAKODISHWA*
Kiwanda cha chakula cha kuku kinakodishwa
-Kiwanda kipo Kisarawe2, Kigamboni yalipo mabanda ya Mr kuku farmers ltd.
-Kiwanda Kina uwezo wa kutengeneza *Mash Tani 5* kwa saa na *Pellet tani 3* kwa sasa kinatumia boiler ya diesel
-Kiwanda kipo katika mradi wa ufugaji kuku zaidi ya *140,000* kama picha inavyoonesha
-Wateja wapo tayari kununua bidha kutoka kiwandani, kabla hujakodisha na kuanza uzalishaji utaunganishwa na wafugaji wanaofuga kwenye mabanda kukuhakikishia kuwa watanunua bidhaa kwako.
-Mahitaji ya wafugaji wanaofuga ndani ya eneo la kiwanda ni zaidi ya mifuko 5200 kwa mwezi.