#miliki_kiwanja_chako_leo #viwanja hivi vinauzwa kibamba shule- kibwegere
.
.
.
viwanja hivi vinaukubwa wa 20× 20 ( square meters) 400
.
.
.
bei: mil. 3 ( milioni 3) ukiwa taka kulipa kwa awamu tuwasiliane pia
=
viwanja hivi vimekaa tambarale kabisa nisehemu iliyojengeka tayari , huduma za kijamii zipo njia inafika vzr hadi site, umeme upo nguzo ipo hapo hapo
=
umbali kutoka kibamba shule kituoni ni km 5 usafiri wa bajaji zipo
=
uhalali: documents safi kutoka serikali za mtaa zipo
=
gharama za kuonyeshwa viwanja ni 15,000
=
call me
# #whats_app