Eneo hili lina ukubwa wa zaidi ya heka ila limegawanywa kuanzia sqm 400 kwenda juu, hivyo unaweza kuchukua hata mara mbili kwa kuunganisha yaani sqm800, ila kuanzia sqm 400 bei ni milioni 9, karibu sana huduma zote zinapatikana maji yapo (DAWASA) na umeme upo na huduma zinginezo zinapatikana.