*shamba zuri sana linauzwa binafsi*
lipo kibaha kwa mathias wilaya ya kibaha mkoa wa pwani
shamba lina mabanda ya kufugia nguruwe, kuku, ng'ombe, na mbuzi,,
kuna migomba, na kuna ofisi na nyumba ya mlinzi, kuna fremu ilikuwa pub, eneo lote lina fensi
ukubwa ekari 1.5
*document za umiliki* - hati
*note* service charge ni elfu 30 haiusishi usafiri
wasiliana nasi +
kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza